MgonjwaUkimwi JF-Expert Member Mar 10, 2006 1,336 875 Mar 16, 2012 #1 Wanajamvi, nisaidieni. Bongo ni wapi, mbongo ni nani na ana tofauti gani na mTz? Asante.
Osaka JF-Expert Member Jun 21, 2011 1,762 551 Mar 16, 2012 #2 [B said: MgonjwaUkimwi[/B];3509538]Wanajamvi, nisaidieni. Bongo ni wapi, mbongo ni nani na ana tofauti gani na mTz? Asante. Click to expand... Kazi kweli kweli! The Home of Great Thinkers!
[B said: MgonjwaUkimwi[/B];3509538]Wanajamvi, nisaidieni. Bongo ni wapi, mbongo ni nani na ana tofauti gani na mTz? Asante. Click to expand... Kazi kweli kweli! The Home of Great Thinkers!
MgonjwaUkimwi JF-Expert Member Mar 10, 2006 1,336 875 Mar 16, 2012 Thread starter #3 Osaka said: Kazi kweli kweli! The Home of Great Thinkers! Click to expand... Wageni JF utawajuwa tu
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,164 Mar 16, 2012 #4 bongo ipo mashariki ya kati....wananchi wake ndo wabongo watz ni watanzania
MgonjwaUkimwi JF-Expert Member Mar 10, 2006 1,336 875 Mar 16, 2012 Thread starter #5 BADILI TABIA said: bongo ipo mashariki ya kati....wananchi wake ndo wabongo watz ni watanzania Click to expand... Makao makuu ya hiyo nchi ya bongo yako wapi?
BADILI TABIA said: bongo ipo mashariki ya kati....wananchi wake ndo wabongo watz ni watanzania Click to expand... Makao makuu ya hiyo nchi ya bongo yako wapi?