MR BINGO
JF-Expert Member
- Feb 12, 2016
- 1,092
- 2,270
Yaan eubank jr umuweke kundi moja na canelo????hayo ni matusiNikimtoa utamuweka nani??7-- Adrian "the problem" Bruner??
Kiukweli eubank jr ana safari ndefu kumfikia baba yake
Yaan eubank jr umuweke kundi moja na canelo????hayo ni matusiNikimtoa utamuweka nani??7-- Adrian "the problem" Bruner??
Yani unamfananisha Chris Eubank Jr na Errol Spence.Si huyo Errol Spence jr anayekataa kupambana na Terrence "bud" Crowford !!?----Huyo bado sana ingawa bado ni unbeaten, sivutiwi kabisa the way he fights.
Hajafikia level ya Mayweather jr, Colbert, Crowford, Jones, Eubank jr
Pambano lake la mwisho hivi karibuni umeliona?Yaan eubank jr umuweke kundi moja na canelo? Hayo ni matusi
Kiukweli eubank jr ana safari ndefu kumfikia baba yake
Hapa nimethibitisha hata mabondia uliowaandika hujui uzito wanaocheza/waliocheza ndio maana una payuka payuka.KaMbona anamuogopa Terence "bud" Crowford ??, Crowford ameomba pambano mara kadhaa lakini Team Errol wanamkacha, hata Team pacquioa iliombwa pambano na Team crowford mara kadhaa nao walikuwa wanamgwaya sasa angalia Team Errol ilipoomba pambano kwa Team pacquiao mara moja Team pacquiao hawakusita kwasababu walijua udhaifu wa Errol dhidi ya Pacquiao na wakaona Pacquiao angeweza kummudu Errol...
Yani unamfananisha Chris Eubank Jr na Errol Spence.
Kijana acha kufuatilia ngumi, fuatilia michezo mingine.
Shawn Porter kupigwa na Terence hilo liko wazi haliitaji mjadala.Davine Haney bado sana?!!--- Do you know boxing??.
Porter will be knocked out by Bud, mark my words.
Mayweather jr kila akiulizwa; who do you think is the best in the weight right now??, jibu lake ni Crowford. Crowford ni bondia anayeogopwa sana na ndio maana mabondia wengine hutafuta visingizio kumkwepa.
Hapa nimethibitisha hata mabondia uliowaandika hujui uzito wanaocheza/waliocheza ndio maana una payuka payuka.
Bwana mdogo kuna michezo mingi ya kufuatilia, achana na boxing.
Fungeni ndoaNamkubali Pacquiao
Hujui unachoongea shekh unajua kapiga opponents wangapi ambao ni hall of fame? Do your researchUwezo hana huyo jamaa. Tena bora hata hajapigana na Errol Spence maana angefia ulingoni.
Cause his a warrior , always has been unajua anapigana na opponents wakubwa kuliko yeye since then kuna magiant magarito na wengi tu, Manny is a freak of nature.Kama ni hivyo kwa nini alikubali pambano?...
Kama umeshawai cheza video game, tena game za tournament na mwenzako anatumia style moja ni kama Mayweather he has nothing special, Manny waligoma asiende Olympic sababu ya style yake yakupigana anachanganya martial arts sort of style kwenye boxing angalia style study zake ujifunze na ni aibu kumfananisha na Mayweather.Mayweather alimwambia Pacquiao, yeye "Mayweather" anapigana anapojisikia kupigana ila Pacquiao inabidi apigane maana inamlazimu apigane hana jinsi.
Unataka kumaanisha mini?Kama umeshawai cheza video game, tena game za tournament na mwenzako anatumia style moja ni kama Mayweather he has nothing special, Manny waligoma asiende Olympic sababu ya style yake yakupigana anachanganya martial arts sort of style kwenye boxing angalia style study zake ujifunze na ni aibu kumfananisha na Mayweather.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Pointi yako ya msingi ni nini?Hujui unachoongea shekh unajua kapiga opponents wangapi ambao ni hall of fame? Do your research
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
8 division? Unajua inamaanisha nini shekh? He is the only 8 division champ kama unafikiri ni rahisi uliza kwanini ni yeye peke yake mpaka sasa.Akiendelea kupigana, kuna siku atadhalilika na heshima yake yote itafutika
Point ya msingi please have some decency when you talk about him he fought his battles bravely, sababu sio mmarekani lakini he accomplished alot to me kuzidi Ali and Sugar Ray.Pointi yako ya msingi ni nini?
Mkuu samahani! naomba unieleweshe hiyo 8 division champ ni nini?8 division? Unajua inamaanisha nini shekh? He is the only 8 division champ kama unafikiri ni rahisi uliza kwanini ni yeye peke yake mpaka sasa.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app