ni wapi Bomu halikuwahi kuzua taharuki?...leta habari iliyo kamili
Mashuhuda wanasema waliona gari likielekea maeneo hayo na kuna kitu kiliwekwa.. hawakusoma hata namba za gari baadae mlipuko ukatokea hao watu wanadhaniwa ndio wametega na wale wananchi hawakuweza kudhani kama hilo gari na hao watu waliovalia kanzu na vitambaa kichwani wamefika eneo hilo kutega bomu.
Hakuna alieumia.. kufariki na hilo kontena lilikua halina hata kitu cha maana ndani
Mashuhuda wanasema waliona gari likielekea maeneo hayo na kuna kitu kiliwekwa.. hawakusoma hata namba za gari baadae mlipuko ukatokea hao watu wanadhaniwa ndio wametega na wale wananchi hawakuweza kudhani kama hilo gari na hao watu waliovalia kanzu na vitambaa kichwani wamefika eneo hilo kutega bomu.
Hakuna alieumia.. kufariki na hilo kontena lilikua halina hata kitu cha maana ndani
Simulation....... stinks to high heaven.Ma... tu hayo na siasa zao chafu, eti yakaweka kwenye kontena la chama ch.. ili ionekane ....