mbisom ramos
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 812
- 396
Salaam wakuu!!!
Nimeangalia salary slip ya mwezi wa 4 na mwezi wa 5 deni liko pale pale wakati bodi tayari wameshakata!!! Pesa kifupi ni kwamba balance iliyopo ya mwezi wa nne na mwezi wa tano iko vilele kifupi tunaibiwa
Nimeangalia salary slip ya mwezi wa 4 na mwezi wa 5 deni liko pale pale wakati bodi tayari wameshakata!!! Pesa kifupi ni kwamba balance iliyopo ya mwezi wa nne na mwezi wa tano iko vilele kifupi tunaibiwa