daaah poleni sanah ndugu zangu ila kiukweli kama hujachaguliwa kozi ambayo ni priority na wewe sio yatima yaan huna baba wala mama... kwa kweli nakushauri jiandae kwa lolote kupata mkopo ni bahat nasibu .
kama ulikuwa na kiherehere na ccm ndo utajielewa. Tulipiga six month bila mkopo tukamwita Pinda kasema msiwe na wasiwasi wapi mienzi nane ndo boom hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.