Yani mtu uko zako kitaani unapiga karibu na kituo cha BODA BODA mara wanaanza kupiga horn ,mwingine ukimwangalia tuu tayari ashawasha chombo anakufuata,sasa leo nilikua nimevurugwa mnoo sasa niko mitaa ya tabata bima naona mtu ananipigia horn mnoo nilichokifanya aisee ni hatari sana Kwa yule bwana mdogo!