Mkuu mimi sio mteja ila kwa ushauri tu, hiyo bei unayouza haitofautiani sana na bei ya kuaiza hiyo gari Japan, kwa namba C ungeshusha bei.Gharama za kuagiza gari kama hiyo ukilipia kila kitu ni kuanzia Mil 25+
Basi kakudanganya jina lake na kama sio yeye anayeliuza itakua naye alimuuzia mdada vile vile, maana nakwambia hivi kwa sababu hiyo gari nimeshawahi kumpeleka nayo airport akienda zake Guanzou.
Hahahahaha kuna mtazamo kuwa wanawake huwa hawako rafu sana kwenye kuendesha gari so to some extent iko vzri kidgo ukilinganisha na ingekuwa inaendeshwa na mbaba
Basi kakudanganya jina lake na kama sio yeye anayeliuza itakua naye alimuuzia mdada vile vile, maana nakwambia hivi kwa sababu hiyo gari nimeshawahi kumpeleka nayo airport akienda zake Guanzou.