Bluetooth Ear pods za Kisasa zinauzwa

Bluetooth Ear pods za Kisasa zinauzwa

Shakir

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2012
Posts
1,692
Reaction score
2,098
12358141581825997464.jpg
648591655-1609115885.jpg
-1980768630-2025757325.jpg

Wakuu Kwema?

Bluetooth Ear pods za Kisasa zinauzwa,

Zinaunganisha Mpaka umbali wa mita 8

Zinasikika vizuri sana,

Unaweza kusikilizia mziki au kuongelea na Simu,

Zinakuja na Charger Pamoja na Manual yake yenye maelekezo yote jinsi ya kutumia.

Bei ni TZS 9,000/= tu kwa 1Pc ambayo preferably ivaliwe sikio la kulia. Napatikana Mbezi Mwisho Stand, ukitaka kuletewa ulipo utagharamia nauli.

Mawasiliano
0769596149 na 0714 315 256
 
View attachment 1211420View attachment 1211421View attachment 1211422
Wakuu Kwema?

Bluetooth Ear pods za Kisasa zinauzwa,

Zinaunganisha Mpaka umbali wa mita 8

Zinasikika vizuri sana,

Unaweza kusikilizia mziki au kuongelea na Simu,

Zinakuja na Charger Pamoja na Manual yake yenye maelekezo yote jinsi ya kutumia.

Bei ni TZS 9,000/= tu kwa 1Pc ambayo preferably ivaliwe sikio la kulia. Napatikana Mbezi Mwisho Stand, ukitaka kuletewa ulipo utagharamia nauli.

Mawasiliano
0769596149 na 0714 315 256
Hivi vidude navipenda sema tu vinachajiwa dk 15 na kinatumika dk 15.
Matatu Mkuu
 
kwa hyo hata ukiskiliza audio ya simu mpaka uichaji au...?

yani haitumiki kwa tumizi lolotr mpaka uchsji mkuu au..?
Haviwezi kutumika bila kuchajiwa Mkuu, sababu ni wireless. Ila ukishachaji kikawa full kama ni kwa matumizi ya Simu tu waweza kutumia hata siku 2
 
Hivi vidude navipenda sema tu vinachajiwa dk 15 na kinatumika dk 15.
Ukisikiliza mziki mfululizo mi natumia mpaka masaa matatu. Na kwa Simu tu mpaka siku 2 au zaidi nafikaga. Sio dakika 15
 
mkuu jitahidi kukata na kucha siku moja moja mkuu.

nikija dar ntakutafuta nizipate hzo kitu.

samahani kwaumbea wangu
Ha ha ha,
Zingekua hazikatwi hata hiyo mara moja moja uliyopendekeza zingekua ndefu zaidi ya hapo Ustaadh wangu.
 
Back
Top Bottom