mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
kuna tabia moja naiona kwenye blog nyingi in such inaanza kunikera sijui wenzangu kama mmeiona..to be honest blogu nyingi tunazoziangalia watanzania wengi ndo zile zile za kina bro michu,sjui jiachie,haki etc etc..ila wanatabia ya kukopiana matukio...tukio hilo hilo unalikuta kwenye blogu nyingine mbaya zaidi picha zile zile na uelekeo unaofanana hazipishani hata chembe...
najiuliza huwa mna mtu m1 anaewatumia picha na habari au...maana mnaondoa ile ladha ya blogu habari zinakuwa duplicated tena in pictures..naomba mjirekebishe apo bana aah:coffee:
mdau wenuuuu
najiuliza huwa mna mtu m1 anaewatumia picha na habari au...maana mnaondoa ile ladha ya blogu habari zinakuwa duplicated tena in pictures..naomba mjirekebishe apo bana aah:coffee:
mdau wenuuuu