NILIJUA TU
Senior Member
- Jul 11, 2017
- 121
- 114
Pilot Test
Sawa!!Kaogopeshe wapumbavu wenzako.
unaweza kuficha uongo huwezi kuficha ukweli. Ukweli hujitetea wenyewe.hauna muda wataupoteza huu uzi
Hii taarifa imetufikia kama mshtuko fulani vile, ikimhusisha Mkuu wa mkoa na uhalifu dhidi ya Lissu
Source Hiyo hapo chini, nimefanya my screenshot tu
View attachment 587455
itafahamika tu kuna vitu ambavyo havijifichi kwa mfano jua, mwezi na ukweli.. tuendelee kusubiri watu wasiojulikana watapojulikana
Bashite ni kweli atakuwa anahusika na hili tukio kwa asilimia 100Mkuu Nairobian, asante kwa hii, kwa vile Tanzania tuna mkataba na Kenya wa kubadilishana wahalifu, wakati serikali yetu inakuja kumsomba yule dereva, pia tutamuomba Robert Alai, tuje nae, atupeleke kwenye hiyo hoteli, uchunguzi uanzie pale!.
Data zote za Alai tayari tunazo.
Robert ALAI (@RobertAlai) | Twitter
Robert Alai Onyango - Home | Facebook
Robert Alai - Wikipedia
Caroline Mutoko shuts down Robert Alai after the blogger insulted her ...
Blogger Robert Alai freed after spending night in police cell | The Star ...
Fury after Kamukunji police detain Robert Alai for 'publishing sensitive ...
Blogger Robert Alai arrested after leaking photos of Kenyattas in ...
Police release blogger Robert Alai - Daily Nation
Robert Alai: This is why I 'deserted' Raila - Hivisasa.com
Controversial blogger Robert Alai apprehended for publishing ...
Paskali
uliotukuka nacheka kama alivocheka mfalme herode alipo muuliza Yesu kama ni mfalme wa wayahudi.Hapo kwenye 'remember Magufuli is Raila's friend', what's the connection!!
Nahitimisha kuwa, The most FEARED people in Tz by opposition ni JPM na Paul Makonda, sababu kubwa ya kuwaogopq ni utendaji kazi wao uliotukuka. Hii inasababisha wakubalike sana kwa wananchi hivyo upinzani wana WIVU.
Hapo kwenye 'remember Magufuli is Raila's friend', what's the connection!!
Nahitimisha kuwa, The most FEARED people in Tz by opposition ni JPM na Paul Makonda, sababu kubwa ya kuwaogopq ni utendaji kazi wao uliotukuka. Hii inasababisha wakubalike sana kwa wananchi hivyo upinzani wana WIVU.
Nyie team mange kasema mnatatizo ktk bongo zenu sio siri
if you want to kill your dog, give it a bad nameMakonda safari hiii hata akinya mbwa barabarani ni yeye,
Na itakuwa kweli kabisa
Serikali ya kenya inapaswa kuomba radhi kwa kitendo alichofanya raia wake la sivyo Rais JPM inabidi afanye jambo ili iwe fundisho kwa kenyaHii taarifa imetufikia kama mshtuko fulani vile, ikimhusisha Mkuu wa mkoa na uhalifu dhidi ya Lissu
Source Hiyo hapo chini, nimefanya my screenshot tu.
Kutoka kwa Robert Alai
View attachment 587455
Gasarikire muraWakurya wana ' msemo ' wao mmoja ambao hupenda kuutumia hasa jambo fulani likigundulika au tukio fulani nyeti na muhimu likitokea usemao " masare yesambukile, isaka na moto ". Watanitafsiria wenyewe tafadhali ila naona sasa ' Kumekucha '. Yangu macho!