Blackberry q10 kwa. 140000

Blackberry q10 kwa. 140000

DUMEGUY

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2014
Posts
499
Reaction score
206
Simu ina 4G ina camera 8mp 2mp 2gb ram 16gb na haina shida yoyote kwa 140000
1474029107523.jpg
 
Umesema haina shida yoyote wakati kutumia simu ya keypad katika zama hizi za smart phone tayari ni shida.....ukikwama nishtue nikupe 50 mwana.
 
Umesema haina shida yoyote wakati kutumia simu ya keypad katika zama hizi za smart phone tayari ni shida.....ukikwama nishtue nikupe 50 mwana.
Unatafuta kiki au sio, kama unajitoa akili hayaa
 
Kama inashuka tuongee ifike 90 na tuandikishane kipindi hhich kununua mkononi ni shida
 
Niliinunua kwa Tsh 500,000/ (laki tano) bado naitumia huku nikijutia hela yangu!!tatizo si Q10! Tatizo ni BlackBerry! Ukiwa nayo unakuwa totally isolated!!yaani hata Fb messenger hupati! Achilia mbali instagram na Apps nyingine unazoweza kuzipata bure kwenye Android!! Hii itakuwa BlackBerry yangu ya mwisho baada ya ile 8520 niliyoitupa dampo.
 
Niliinunua kwa Tsh 500,000/ (laki tano) bado naitumia huku nikijutia hela yangu!!tatizo si Q10! Tatizo ni BlackBerry! Ukiwa nayo unakuwa totally isolated!!yaani hata Fb messenger hupati! Achilia mbali instagram na Apps nyingine unazoweza kuzipata bure kwenye Android!! Hii itakuwa BlackBerry yangu ya mwisho baada ya ile 8520 niliyoitupa dampo.

Kuna priv mkuu,
 
Back
Top Bottom