Black man is the original

Bangi zengine hizi ww ulikuwepo mpaka useme hivo
 
Ubongo unapokuwa mzito kuliko akili ni shida sana

Una Maanisha Nini? Kumbuka Biblia Na Vitabu Vingine Vya Dini Vimesambazwa Na Wazungu,japokuwa Ni Neno La Kweli La Mungu,kwa Hiyo Usitegemee Ktk Ku Act Sinema Za Yesu Na Zingine Mtu Mweusi Akahusishwa Lazima Wa Act Wazungu,ni Kweli Yesu Alikuwa Mweupe Maana Alizaliwa Israel,lakini Kwa Habari Ya Adam Na Hawa,hakuna Ajuaye.
 

Hebrew walikua ni watu weusi mfalme suleiman alikua mweusi katika kitabu mwanzo kimasema mungu alimuumba bina damu kwa udongo sasa nikuulize ulisawahi ona wapi udongo mweupe?mtu mweusi aanweza kuzaaa mtu ,weupe lakini mtu mweupe hawezi kuzaa mtu mweusi kamwe sasa tafakari kipi ni original
 

imeandikwa kwamba sura ni rang ya shaba na nywele za kondoo mzungu nywele zake sio kama za kondoo upo mpaka hapo? nyingine waisraeli wa leo unaowaona sio biblical israelite soma amosi 9:7 utajua ninachosema ni ukweli soma biblia usimwamini mzungu, mzungu wa kuaminiwa ni aliyekufa tu
 

sasa we mweusi umetokea wapi??
 

color of the cross
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…