cosmaspeleka
New Member
- Mar 30, 2015
- 3
- 1
Tunafanya maintanance installation and repair of hospital/medical equipments pia ushauri kuhisu vifaa tiba. mawasiliano cosmasramadhan@gmail.com
Tupo wote mkuu na me nataka nika someKaka kozi ya Bionedical technology kwa hapa Tanzania chuo gani kinatoa.kwa sabanu hii kozi Ni market Sana.Tafazal naomba jibu Kuna Mdogo wangu anataka Sana kusoma hii kozi.
Mkuu nakuja PM tuongee