Binti wa kizenji

Mbona mie nishawatafuna sana, mbinu zinakucheza tu mkuu.
 
kwanini mabinti wa kizenji niliowahi kuwatokea wanatake long time or even reject your proposal of being together hata kama una lengo zuri tu juu yake? jamani kunani visiwani?.wenye uzoefu watujuze
Wanahitaji kuolewa
Ukimtongoza tu anakwambia njoo nyumbani
His ndio sababu kubwa ya Zanzibar
 
Unamtongoza ndugu yako si huwa naskia magu akijigamba tuna undugu nao
 
pole sana.
huku kitaa wapo ila ni majimama hakuna dogo dogo.
 
Wanahitaji kuolewa
Ukimtongoza tu anakwambia njoo nyumbani
His ndio sababu kubwa ya Zanzibar

Izo zikushuhulishe kabisa mkuu. Weye tegea tegea ukijipundua tu unakula mziga halafu ndo kwisha.
Utatafuna kila siku.
 
kwanini mabinti wa kizenji niliowahi kuwatokea wanatake long time or even reject your proposal of being together hata kama una lengo zuri tu juu yake? jamani kunani visiwani?.wenye uzoefu watujuze
Mabinti wa kizenji wengi ni vipori, na hata nyuchi zao mbovu ndo maana anakuzungusha, bora ampe mzenji mwenzake asiyeelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani we mzenji? Kama sio una mawe? Kama huna Muislam? Kama sio, sombesombe /mwarabu (hata koko)? Kama yote ya juu ni neg kaa zako home tafuta mbongo maskini mwenzako tena mbantu wa bara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanini mabinti wa kizenji niliowahi kuwatokea wanatake long time or even reject your proposal of being together hata kama una lengo zuri tu juu yake? jamani kunani visiwani?.wenye uzoefu watujuze

Walio wengi wanajitambua. wako wachache wasiojitambua. Kama dini ni tofauti hata umkute mwanamke mzenj muislamu ambaye ni mlevi hawezi kukubali kuolewa na mtu wa dini nyengine.

Nimeishi T/ bara mda wa miaka 15 nimeona kuwa wanawake wa kibongo ni rahisi mno mno hawalembi. Sema kwa sababu ya uislamu wangu sikuwa nawashughulikia. Ukirusha mshipi haichukui dakika tofauti na mabinti wa kizenj ambao kukukubalia ule papuchi si rahsi kwa walio wengi( ingawa wapo waliodata).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…