Alf kumbeMkuu ujue mwakani bado mwezi mmoja tu, ungesema na mwezi
Mkuu am sorry to say this but hizo qualities kwa wadada Wa mtandaoni hutopata unless uwe kama una test zali tuHabari za jukwaa Hili”
Nahitaji kuwa na mahusiano ya Karibu na binti/ mdada mwenyewe ndoto za kujenga familia(kuolewa) awe mtu mwenyewe malengo na maisha... umri wangu ni miaka 32yrs nipo dsm’ kama upo serious tafadhali njoo pm tupate wasaha mzur wa kujuana:
Mkuu am sorry to say this but hizo qualities kwa wadada Wa mtandaoni hutopata unless uwe kama una test zali tu
ha ha ha ha watawezana kweli?