Ngosha2012
Member
- Feb 18, 2013
- 6
- 1
Nina ndugu yangu wa kike ana umri wa miaka 19 kaishia form two anatafuta kazi. Ana uzoefu wa kufanya kazi kama kufanya usafi maofisini na saluni za kiume(barber shop), kuuza duka la simu, nguo au vifaa, na upishi (catering) (japo hajasomea ila kashawahi kufanya kazi hii), Pia yupo tayari kufanya kazi yoyote ili mradi iwe ya halali.