Mkuu hiyo bingo ilitulia, hapa bongo iliwahi kuwatokea walimu kwenye benki ya NMB mjini Mbeya wakavuta na kuanza wakidhani wameongezewa mishahara, wakati ule wana mgogoro na serikali.Walivyorudi tena kucheck na account zao walikuta zimefungiwa kwa order ya manager, walipokwenda kumuuliza wakaambiwa walizidishiwa kwa makosa!!