Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 918
- 1,099
Watu wanazidi kupungua duniani ila binadamu ndo wanaozidi kuongezeka.
Itakuwa ngumu kunielewa kipi nimeimanisha ila kama we muelewa nadhan umenielewa ila kama ujanielewa basi karibu.
Watu wako na roho safi ila binadamu wako na roho mbaya hivi ndo viumbe ambavyo avitaki viumbe vyenzie vifanikiwe ....
Tunazaliwa tukiwa watu ila tunapofika dununia utu unapotea kwa tamaa ya mali n.k yaani unakuta binadamu anadhamin gari kuliko Mtu so hichi kitu ndo kinakuja kutofautisha kati ya mtu na binadamu. Mtu anaweza kuwa binadamu na ngumu sana binadamu kuwa mtu .
Mfano mchawi ni ngumu kuacha uchawi. Kwa mfano wachawi wala watu daah ni hatarii. Nadhani tumeelewana kuhusu watu na binadamu 🙏 uwepo wa watu duniani unapungua na kubaki wanadamu so poa. Mali zimekuwa na dhaman kuliko mtu duuh.
Imeandaliwa na Kimodomsafi