Bima ya afya nafuu na mkono wa pole

Bima ya afya nafuu na mkono wa pole

Joined
Nov 6, 2012
Posts
96
Reaction score
28
Tunapenda kutangaza bima ya afya na maisha,yaani mkono wa pole kwa wafanyakazi na watumishi wa makampuni mbalimbali.

Kampuni ya Acclavia insurance brokers ikiwa imedhaminiwa na Strategies na Sanlam inakuletea bima ya afya na huduma ya mkono wa pole.

Unajiunga bima ya afya na mkono wa pole kwa tshs.230,000/= wewe na mwenza wako na watoto 2 wasiozidi umri wa miaka 18.

Mafao ya kutibiwa hadi 4,050,000/= km ifuatavyo;
1. Magonjwa ya kulazwa tibiwa hadi tshs.3,000,000/=
2. Magonjwa yasiyo ya kulwazwa Tshs.450,000/=
3. Huduma za kujifungua kawaida Tshs.600,000/=

Pia ukijiunga unapatiwa huduma ya mkono wa pole endapo mwanachama atafariki au wategemezi wake watafariki kama ifuatavyo;

1. Akifariki mwanachama ndani ya masaa 48 baada ya kuwakilisha hati ya kifo bima itawapatia mkono wa pole familia husika ya tshs.1,500,000/=
2. Akifariki mwenza bima itampatia mkono wa pole mwanachama 1,000,000/=
3. Bima itampatia mwanachama Tshs.500,000/= kwa kila mtoto atakaye fariki kama mkono wa pole.

Ofisi za kampuni zipo Posta, Dar es salaam, jengo la Kitega Uchumi, ghorofa ya 3.

Kwa mawasiliano piga 0627370202,au WhatsApp 0754370202, Instagram follow; wapstraders.

Acclavia@gmail.com
james.lupiano75@gmail.com
Website; www.acclavia.com
 
Habari wana jf,

nimeamua kuja tena kwenu kutoa huduma ya bima kiganjani na kampuni ya uwakala wa bima kwa jina la GOFIN VENTURES LIMITED, P.O BOX 33971, DAR ES SALAAM iliyopo Mikocheni kwa mwalimu Nyerere mtaa wa Tandala.
Kamuni imesajiliwa na ina leseni za kufanya biashara ya bima.
Huduma ya bima nitakazoyota ni kama zifuatazo;
1.bima ya vyombo vya moto yakiwemao magari na piki piki
2.bima ya majengo
3.bima ya elimu
4.bima ya mikopo
5.bima ya viwanda
6.bima ya maisha
7.bimaya kusafirisha mizigo
kwa ufupu bima zote isipokuwa bima ya afya kwa sasa sitatoa huduma hiyo.
huduma hii imeboreshwa inafanyika kwenye mtandao.
Utaratibu ni kwamaba unawasiliana nami nakuja mahali ulipo nasajili nyaraka zako kwenye simu utatumiwa contol namba kwa malipo unalipa benki ya CRDB au NMB unanipatia kopi ya benki nawe unabaki na yako, kabla hatujaachana unahakikaisha bima uliyolipa inasoma kwenye mfumo.
Mawasiliano; 0627370202 whatsapp

Bei za bima zinategemeana na nyakaka, thamani,matumizi ya chombo, jengo hivyo kwa maelezo zaidi nipigie au nitumie meseji.
 
Back
Top Bottom