Bima afya UDOM

Naomba mnisaidie,hivi tarehe ya kufungua chuo cha udom 31/10/2015,ndipo na wale waliochaguliwa diploma wanatakiwa kufika tarehe hiyohiyo au ni tarehe tofauti na ni tarehe ngapi?
 

Hahahaha we jamaaa unaakili kubwaaa.... Eee bhanaa ovyoooo kabsaaa maskini vitoto vya watuuu
 
Kama una bima unalipa elfu 46. Ila kama hauna itakubid ulipe yote laki 1 elfu 54kwenye nhif na hyo 46 chuo.kitatoa utaratibu wa kulipia kwa ajil ya huduma za dispensary ya chuo

vipi kuhusu kulipa ada 30 october mbona direct cost imesimama vilevile na hakuna maelezo ya ziada au ndo trick!
 
vipi kuhusu kulipa ada 30 october mbona direct cost imesimama vilevile na hakuna maelezo ya ziada au ndo trick!

Hiyo trick tu. Ada unaweza lipa tar yoyote direct coast haijapungua chochote ndo usanii huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…