Udom mtaendelea kuibiwa hadi lini?Ina maana nyie hamna serikali ya wanafunzi..
Sasa mtu una bima ya wazazi hiyo pesa unalipa ya nini.Na nimesikia kuna wengine wamelipa lakini bima hawakupata
NHIF wanataka only 50,400 sasa hiyo laki nzima ni ya kazi gani.Mbona vyuo vingi tu wanalipa elfu hamsini na mia nne.Na ikitokea kwa uzembe wao usipate kadi,mwaka unaofuata hautolipa hiyo pesa
Kweli Dodoma ni pango la walanguzi