Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 953
- 413
Kama una bima unalipa elfu 46. Ila kama hauna itakubid ulipe yote laki 1 elfu 54kwenye nhif na hyo 46 chuo.kitatoa utaratibu wa kulipia kwa ajil ya huduma za dispensary ya chuo
hivi hiyo elfu 46 wanaitaka ya nn??
habari zenu wakubwa,naomba kwa yule anayejua tarehe ya kuripoti UDOM kwa wale waliochaguliwa special diploma mwaka huu anijuze pamoja na vitu vya kwenda navyo.
habari zenu wakubwa,naomba kwa yule anayejua tarehe ya kuripoti UDOM kwa wale waliochaguliwa special diploma mwaka huu anijuze pamoja na vitu vya kwenda navyo.