DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Katibu wa Mafunzo, Uenezi na Siasa wa CCM Mkoa wa kilimanjaro, Abraham Urio, amesema Tsh Billioni 188.59 zatolewa kwa shirika la Umeme Tanesco Mkoa wa Kilimanjaro iliyowezesha shirika hilo kutekeleza Miradi 1222 kwa mwaka 2020/2025.
Amesema hayo katika mazungumzo maalumu na Banana Fm, kuhusu utekelezaji wa Ilani ya chama hicho kwa mwaka 2020/2025.
Amesema hayo katika mazungumzo maalumu na Banana Fm, kuhusu utekelezaji wa Ilani ya chama hicho kwa mwaka 2020/2025.