Hapo mmegusia kitu cha umeme,itapigwa vita gharama za uendeshaji ni kubwa mno ,wakati wao wanatumia magari yanaokula mafuta mno ,kwa kuwa obey,upanga,masaki maji yanamwagika 24/7 watu wa tabata,kimara,na maeneo mengine ya nchi hawatapewa kipaumbele,ili dawasco isife itabidi mitambo hiyo ipigiwe zengwe hata kama darwasco inaonekana kuelemewa na idad ya watu wanahoitaji huduma toka kwao,Wasofikiria wenzao nawaona wakisimama wazi wazi wakitumia mamlaka yao kuelezea gharama kubwa sana kuziendesha hizi mashine bila kukumbuka kupitia magar yao ya maji wanamuuzia mtanzania dumu moja 500-1000 .Kina bill gates wanatuwazia namna ya kutupunguzia ugumu wa maisha,lakin wasimamizi wetu wanawaza watuumize vipi kila kukicha( bei ya mafuta imeshuka duniani tanzania bado ile ele).SHIKAMOO EDDO KUMWEMBE.