Bilionea William Mungai ashinda Uenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Iringa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
119,467
222,731
Screenshot_2024-05-24-18-06-20-1.png

Mungai Tajiri ambaye ni Mfanyabiashara mwenye Mafanikio Makubwa Wilaya Mafinga,Tanzania na Kimataifa, amechaguliwa tena kuongoza Chadema Mkoa wa Iringa.

Huyu Jamaa ndio alishirikiana na Mchungaji Msigwa na Patrick Ole Sosopi kuua CCM Iringa yote, Safari hii ameahidi kumstaafisha siasa William Lukuvi, Rushwa ya Ulanzi, Viberiti na Chumvi haitapata nafasi msimu huu

Taarifa zaidi zinakuja
 
Aisee, sasa kama mtu anapewa ulanzi, chumvi au kiberiti kisha yeye anatoa kura mtu kama huyu ukimueleza mambo ya katiba mpya ataanzia wapi kukuelewa?

CHADEMA inabidi mjitafakari sana kwenye agenda za vipaumbele vyenu ili mrudi kwenye ile nafasi yenu ya 'upinzani imara' na ikiwezekana muiondoe CCM madarakani
 
Aisee, sasa kama mtu anapewa ulanzi, chumvi au kiberiti kisha yeye anatoa kura mtu kama huyu ukimueleza mambo ya katiba mpya ataanzia wapi kukuelewa ??!! CHADEMA inabidi mjitafakari sana kwenye agenda za vipaumbele vyenu ili mrudi kwenye ile nafasi yenu ya 'upinzani imara' na ikiwezekana muiondoe CCM madarakani
Hivyo viberiti na chumvi makasha yake yana picha za Lukuvi
 
Lukuvi kwa heshima astaafu siasa za jimboni. Jimbo amuachie kijana wa chama chake wachuane na huyu mwenyekiti wa CHADEMA uchaguzi mkuu ujao.

CHADEMA kwa mwendo wao huo mpya watarudi bungeni kwa wingi wa rekodi mpya za kuchukua majiji na miji mikuu. Safari hii watembee sana mpaka vijijini iliko CCM
 
View attachment 2998370

Mungai Tajiri ambaye ni Mfanyabiashara mwenye Mafanikio Makubwa Wilaya Mafinga,Tanzania na Kimataifa, amechaguliwa tena kuongoza Chadema Mkoa wa Iringa.

Huyu Jamaa ndio alishirikiana na Mchungaji Msigwa na Patrick Ole Sosopi kuua CCM Iringa yote, Safari hii ameahidi kumstaafisha siasa William Lukuvi, Rushwa ya Ulanzi, Viberiti na Chumvi haitapata nafasi msimu huu


Taarifa zaidi zinakuja
mbona kama vile kulikua hakuna uchaguzi hapo kamanda 🐒
 
View attachment 2998370

Mungai Tajiri ambaye ni Mfanyabiashara mwenye Mafanikio Makubwa Wilaya Mafinga,Tanzania na Kimataifa, amechaguliwa tena kuongoza Chadema Mkoa wa Iringa.

Huyu Jamaa ndio alishirikiana na Mchungaji Msigwa na Patrick Ole Sosopi kuua CCM Iringa yote, Safari hii ameahidi kumstaafisha siasa William Lukuvi, Rushwa ya Ulanzi, Viberiti na Chumvi haitapata nafasi msimu huu


Taarifa zaidi zinakuja
Nasikia upo kwa mganga umefungwa kamba!
 

Mungai Tajiri ambaye ni Mfanyabiashara mwenye Mafanikio Makubwa Wilaya Mafinga,Tanzania na Kimataifa, amechaguliwa tena kuongoza Chadema Mkoa wa Iringa.

Huyu Jamaa ndio alishirikiana na Mchungaji Msigwa na Patrick Ole Sosopi kuua CCM Iringa yote, Safari hii ameahidi kumstaafisha siasa William Lukuvi, Rushwa ya Ulanzi, Viberiti na Chumvi haitapata nafasi msimu huu

Taarifa zaidi zinakuja
Magu alivyokuja alipiga kazi balaa, Raia wote wakasadiki juu ya CCM kuwa ni chama Imara, sijui kwa sasa ila mzee baba alinyoosha ukweli na watu wakauamini
 

Mungai Tajiri ambaye ni Mfanyabiashara mwenye Mafanikio Makubwa Wilaya Mafinga,Tanzania na Kimataifa, amechaguliwa tena kuongoza Chadema Mkoa wa Iringa.

Huyu Jamaa ndio alishirikiana na Mchungaji Msigwa na Patrick Ole Sosopi kuua CCM Iringa yote, Safari hii ameahidi kumstaafisha siasa William Lukuvi, Rushwa ya Ulanzi, Viberiti na Chumvi haitapata nafasi msimu huu

Taarifa zaidi zinakuja
Mungu azidi kumtia nguvu na ujasili wa kuisambaratisha ccm.
 
Back
Top Bottom