MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kuna Tangazo nimeliona hivi punde kutoka kwa Msemaji wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi kwenda katika Vyombo vya Habari akiwaomba Kukutana nao Kesho asubuhi muda wa Saa 3 na dakika 30 Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo Mkoani Dodoma.
Sijui labda Steyn amelegeza Kamba huku Afrika Kusini au labda ndiyo tunataka Kutangaziwa rasmi kuwa Ndege yetu imekuwa rasmi Mali binafsi ya huyu Steyn hivyo sasa Watanzania tuanze Kujua kuwa idadi ya Ndege zetu zimepungua.
Ila huyu Steyn ametutesa sana ndani ya Kipindi hiki Kifupi halafu Jamaa ( Styen ) ni Mjanja kwelikweli yaani muda wote alinyamaza ila aliposikia tu kuwa ' Mkemia Mbishi ' amekuwa Kiongozi wa mwaka wa ' Sadeki ' nae akaona sasa ndiyo hapo hapo amjaribu na amuonyeshe kuwa Ulipaji wa Deni ni Kwanza na Ukuu wa ' Sadeki ' baadae.
Sijui labda Steyn amelegeza Kamba huku Afrika Kusini au labda ndiyo tunataka Kutangaziwa rasmi kuwa Ndege yetu imekuwa rasmi Mali binafsi ya huyu Steyn hivyo sasa Watanzania tuanze Kujua kuwa idadi ya Ndege zetu zimepungua.
Ila huyu Steyn ametutesa sana ndani ya Kipindi hiki Kifupi halafu Jamaa ( Styen ) ni Mjanja kwelikweli yaani muda wote alinyamaza ila aliposikia tu kuwa ' Mkemia Mbishi ' amekuwa Kiongozi wa mwaka wa ' Sadeki ' nae akaona sasa ndiyo hapo hapo amjaribu na amuonyeshe kuwa Ulipaji wa Deni ni Kwanza na Ukuu wa ' Sadeki ' baadae.