Mhh...i advice u kusahau kabisa kuhusu hiyo bikra. Mpende the lady as she is bana...forget abt it.
Otherwise hiyo hali itakusumbua koz na yeye ameshaona wekaness yako ni kwenye fact that she is a vrgin...na kama sio basi atakufanya mtumwa mpaka ile siku utakayokuja kujua.
I know its prestigious to end up with a virgin lakini ukiifanya ndo main concern yako, ndo ur basis of her love for her, the reason why u wouldnt make love to her...my friend, u r bound to be greatly heart broken...worse than humpty dumpty's fall....all the jf members wont b able to bring it back together again.
Unajua kaka, hii ishu inaweza kuwa tanzu kulingana na unavyoamini. Kwa ujumla kama unaona ana Mungu na wewe unamwamini Mungu kihivyo subiri ila usije ukaokota mabua.
MAMA MDOGO
Naona Sasa Umeamua Kunikoroga Maibreini
Mi sijui Niko Wapi Kwenye Hvyo Vitengo Vyako!
ndo Hvyo Ambacho Sikitak, Maana Najijua Jinsi Ninavyozichukuliaga mbeleni Mishu Za Kumtrust M2 Kumbe Kakufanya *****!
Nina Gf Wangu(anajitegemea) Ambaye Kiukwel Ninampenda Sana Na Ndio Maana Hata Aliponizuia Kuwa Nisimwage Wino Mpaka 2we Ktk Ndoa kwa Kuwa Yeye Ni Bikra Na Hakuna Anayeistahl Mpaka Yule Atakayemuoa(mimi),
Mzee Nikanywea Na Ku2lia
Ila Maisha Ya Mahusiano Haya Kiukwel Naish Kimashakamashaka Hasa Ukizangatia Nampenda Halafu Mwisho Wa Siku Nikapigwa Pilipili Ya Macho
Na Hyo Bikra Yake kama Mwana jf Fulan Hv.
Huyu Gf Mimi Ni Mwanaume Wa Pili Anadai Wa Kwanza Alianza Nae Mahusiano Toka Shule Na Wakadumu Kwa Miaka Miwil Kisha Wakaachana
Ingawa Anadai Nae Hawakuduu Nae.
Wajamen Naomba Msaada Namna Ya Kumjua Mwanamke Bikra... kwani Nimechoka Mwenzenu Na Hizi Propaganda Zake
Suala La Pili Ni Kwamba Huyu Gf Wangu Kila Wiki Anavaa Nguo Mpya Vlievile Hata Kichwan Yaan Ni Bandika Bandua Fashen Za Nywele After 2 Wiks
(najua Mshahara Wake Haukiz Mambo Yote Haya)
USHAUR WAJAMEN PLZ MWENZENU NIMEFUNGWA!!
Nina Gf Wangu(anajitegemea) Ambaye Kiukwel Ninampenda Sana Na Ndio Maana Hata Aliponizuia Kuwa Nisimwage Wino Mpaka 2we Ktk Ndoa kwa Kuwa Yeye Ni Bikra Na Hakuna Anayeistahl Mpaka Yule Atakayemuoa(mimi),
Mzee Nikanywea Na Ku2lia
Ila Maisha Ya Mahusiano Haya Kiukwel Naish Kimashakamashaka Hasa Ukizangatia Nampenda Halafu Mwisho Wa Siku Nikapigwa Pilipili Ya Macho
Na Hyo Bikra Yake kama Mwana jf Fulan Hv.
Huyu Gf Mimi Ni Mwanaume Wa Pili Anadai Wa Kwanza Alianza Nae Mahusiano Toka Shule Na Wakadumu Kwa Miaka Miwil Kisha Wakaachana
Ingawa Anadai Nae Hawakuduu Nae.
Wajamen Naomba Msaada Namna Ya Kumjua Mwanamke Bikra... kwani Nimechoka Mwenzenu Na Hizi Propaganda Zake
Suala La Pili Ni Kwamba Huyu Gf Wangu Kila Wiki Anavaa Nguo Mpya Vlievile Hata Kichwan Yaan Ni Bandika Bandua Fashen Za Nywele After 2 Wiks
(najua Mshahara Wake Haukiz Mambo Yote Haya)
USHAUR WAJAMEN PLZ MWENZENU NIMEFUNGWA!!
kwa Hyo Kama M2 Unampenda Ndo Uwe Unakubari 2 Kizembekizembe Kila Anachokwambia?
SIKUBALI HAPA!
Na mwanamke anaye olewa na mwanaume kama huyo mbona ana kazi, mana kisha anza kumshakia kabla ya ndoa je akisha owa....Afu huyo dogo nadhani anataka kuchungulia tu kama ana bikra au hana, sa sijui akisha onyeshwa bikra kabla ya ndoa na wengine hawatachungulia kama yeye.
Kaka pole sana.But kiukweli kama unapenda toka moyoni na kwli mna malengo cha msingi ni kukalishana chini mkaongea na umuulize huyo mwenzio kama kweli bado anakupenda kwa dhati, usije ukadanganyika na bikra mkapotezeana muda.
yaani Roho Inamung'unyuka Mwenzenu
Hasa Ukizingatia Nampenda Sana Huyu Gf!