Biko +3 mzuka

Ndugu,

Unachokiamini kinatokana na unachokijua,
unachokijua kinatokana na unachoona, unachosoma, unachojifunza.

Kama unachokiamini kina shida, shida haijaanzia kwenye unachoamini, bali unachokijua, au ulichojifunza/jaribu/soma.

Kubadili mtazamo wako, jitahidi kuongeza/kubadili unachokijua.

Pole sana kama hicho ndiko unachoamini.
Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo YEYE alivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…