Unauza,unakodisha au ni mtu akitaka kupiga picha nazo anakufuata?Kwa mawasilino piga 0713449460/0755206666/0784449460
Unauza bila bei au ni barter trade?Nauza kaka vipo dukani kwangu
Naona itakuwa ni Duka lake.Ele ndo electronics??
Kama bei mpaka namba ya simu basi ulikuwa hauna haja ya kuweka na picha Mkuu.Bei unatajiwa mkuu ndo maana nikaweka contact
Usishangae mkuu. Ndiyo wafanyabiashara wa Bongo hawa. Hapo ukiendelea kumuuliza maswali si ajabu akaanza kuporomosha matusi. Sisi yaani bado sana !Kama bei mpaka namba ya simu basi ulikuwa hauna haja ya kuweka na picha Mkuu.
vyema kabisa Maana wanakurupukaUnauza,unakodisha au ni mtu akitaka kupiga picha nazo anakufuata?
Kaka matusi kwangu ni mwiko natangaza bidhaa za dukani kwangu kwenye mitandao mbalimbali ya kijamiiUsishangae mkuu. Ndiyo wafanyabiashara wa Bongo hawa. Hapo ukiendelea kumuuliza maswali si ajabu akaanza kuporomosha matusi. Sisi yaani bado sana !
Picha na bei ya hiyo bidhaa ushawishi na kuvutia mnunuzi.Kaka we Sema unahitaji bidhaa ipi