Bidhaa za asili

Bidhaa za asili

Joined
May 25, 2018
Posts
61
Reaction score
87
Karibu ununue bidhaa za asili za (Natural Products)

Tunauza Mafuta ya nazi pure na organic kwa bei ya jumla na rejareja

Pia tunauza mafuta ya nazi yaliyochanganywa na mchaicha na Rosemary mazuri sana kwa wenye ngozi zenye matatizo

Tuna Black castor oil (mafuta ya mnyonyo) kwa jumla na rejareja

Tunauza pia mimea ya mitishamba herbal plants, pamoja na kutoa ushauri kwa kuitumia kwa chakula na dawa.

Mimea tuliyonayo ni

Rosemary
Basil
Oregano
Mint

Pia tunaiuza ikiwa imekaushwa (dried herbs)

Bei za bidhaa zetu ni

Mafuta ya nazi
250 mls ni 10000
100 mls 5000
1 ltr Bei ya jumla ni 30,000

Mafuta ya mnyonyo
250 ml 10,000
100 ml 5000
1 liter bei ya jumla 30,000

Bei za herbs fresh zilizopandwa kwenye pots ni 10,000

Dried herbs ni 10,000 kwa 100 grams

Piga simu 0768222011 kwa maulizo na kuweka oda

Tunapatika Mwenge na Mbezi

Karibuni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom