MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,433
Wakuu,
Kama tunavyojua tayari Rais wa Marekani ameapishwa na tayari ameanza kazi.
Pamoja na mambo mengine ya kujifunza kwenye tukio la kuapishwa kwake lakini moja wapo ni Biblia aliyotumia kuapa. Rais Joe Biden ni Mkatoliki na anakuwa Rais wa pili Mkatoliki kutawala Marekani baada ya hayati John F Kennedy.
Biblia aliyotumia kuapa ni Biblia ya kifamilia ambayo wamekuwa wakirithishana kwa zaidi ya miaka 127 toka mwaka 1893. Rais Biden ameitumia kuapa pia huko nyuma kwenye nyadhifa tofauti kama picha hii chini inavyoeleza ambayo ni ya mwaka 1973.
Kama tunavyojua tayari Rais wa Marekani ameapishwa na tayari ameanza kazi.
Pamoja na mambo mengine ya kujifunza kwenye tukio la kuapishwa kwake lakini moja wapo ni Biblia aliyotumia kuapa. Rais Joe Biden ni Mkatoliki na anakuwa Rais wa pili Mkatoliki kutawala Marekani baada ya hayati John F Kennedy.
Biblia aliyotumia kuapa ni Biblia ya kifamilia ambayo wamekuwa wakirithishana kwa zaidi ya miaka 127 toka mwaka 1893. Rais Biden ameitumia kuapa pia huko nyuma kwenye nyadhifa tofauti kama picha hii chini inavyoeleza ambayo ni ya mwaka 1973.