Kwahyo tuache biashara ya vijihela tutafute ambayo haitangazwi?Yaan ukiona biashara flan inafundishwa sana kwamba watu wengne wafanye ujue haina hela hyo..
Hata kama ina hela bas ni vijihela
We ushawai waona wahind au waarab wanahangaika et mitandaon huko...
Biashara zenye pesa huwa zinapigwa kimya kimya ili watu wasiwe weng kwenye soko
Uzi tayar
Pole sana ndugu yangu ....Duh kwahiyo nikang'oe alizeti?
Una point lakini uandishi wako huwa wakitoto mkuu.Pambana snaa
DAAH MI NAFUGA KWARE MKUU NDO NISHAPOTEA NINI???
Na usipende kuongea ongea malengo yako kwa watuuKweli. Katika rules za biashara moja wapo ni "don't blab". Mtu yeyote hatakiwi kujua biashara yako unaifanya vipi, una order kutoka wapi na inakuingizia bei gani. Keep it to yourself.
Hakuna jipya chini ya juaYaan ukiona biashara flan inafundishwa sana kwamba watu wengne wafanye ujue haina hela hyo..
Hata kama ina hela bas ni vijihela
We ushawai waona wahind au waarab wanahangaika et mitandaon huko...
Biashara zenye pesa huwa zinapigwa kimya kimya ili watu wasiwe weng kwenye soko
Uzi tayar
hahahaYaan ukiona biashara flan inafundishwa sana kwamba watu wengne wafanye ujue haina hela hyo..
Hata kama ina hela bas ni vijihela
We ushawai waona wahind au waarab wanahangaika et mitandaon huko...
Biashara zenye pesa huwa zinapigwa kimya kimya ili watu wasiwe weng kwenye soko
Uzi tayar