Biashara ya vitenge

Biashara ya vitenge

mwampepe

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2015
Posts
330
Reaction score
129
Habari wana JF,

Naomba msaada kuhusu biashara ya vitenge vya mafuta au Java, Mbeya vinauzwa 15000 kwa pieces 2/ doti, na 43000 kwa pieces 6 /jola, nasikia wananunua Dar kwa jumla. Naomba kujua bei ya jumla Dar ni shiling ngapi? Na vinapatikana Dar sehem gani?

Natanguliza shukrani, naomba mnisaidie
 
Habar wana jf,naomba msaada kuhusu biashara ya vitenge vya mafuta au java,mbeya vinauzwa 15000 kwa pieces 2/ doti,na 43000 kwa pieces 6 /jola,nasikia wananunua dar kwa jumla.Naomba kujua bei ya jumla dar ni shiling ngapi?na vinapatikana dar sehem gani? Natanguliza shukrani,naomba mnisaidie
Nenda Karibu Textiles. Ila mimi nakumbuka niliwahi kununua mwaka juzi kwa Tshs 17,000/= Jora moja kwa Agent wa Karibu Textiles ambaye yupo mnazi mkabala na lile Jengo la Scandnavia. Jina la duka nimelisahau ila ukiwavuka wale kina mama wanaouza mabatiki ukikunja kona utalikuta Duka na wameandika kibao kinachoonesha kwamba wao ni wakala wa Karibu Textiles.
 
Jora kwa Dar ni 40000 ina piece sita fika kariakoo au kitumbini utafurahi na roho yako kwa mbeya wengine nadhani wanauza 42000 faida 2000 anachukua...biashara hi ni nzuri ukipata eneo lenye mzunguko mzuri wa biashara
 
mim nataka na hizo sambusa hapo kwenye avatar yako... nazo unauza
 
Jora kwa Dar ni 40000 ina piece sita fika kariakoo au kitumbini utafurahi na roho yako kwa mbeya wengine nadhani wanauza 42000 faida 2000 anachukua...biashara hi ni nzuri ukipata eneo lenye mzunguko mzuri wa biashara
Asante sana ndugu yangu,Mungu akupe haja ya moyo wako
 
Mimi nauza vitenge vya java ,duans nanunua kariakoo jumla 19000 au 20000 piece 3
Habar wana jf,naomba msaada kuhusu biashara ya vitenge vya mafuta au java,mbeya vinauzwa 15000 kwa pieces 2/ doti,na 43000 kwa pieces 6 /jola,nasikia wananunua dar kwa jumla.Naomba kujua bei ya jumla dar ni shiling ngapi?na vinapatikana dar sehem gani? Natanguliza shukrani,naomba mnisaidie
 
Habari wana JF,

Naomba msaada kuhusu biashara ya vitenge vya mafuta au Java, Mbeya vinauzwa 15000 kwa pieces 2/ doti, na 43000 kwa pieces 6 /jola, nasikia wananunua Dar kwa jumla. Naomba kujua bei ya jumla Dar ni shiling ngapi? Na vinapatikana Dar sehem gani?

Natanguliza shukrani, naomba mnisaidie
Unaweza unanichek 0786106281
 
Back
Top Bottom