mwampepe
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 330
- 129
Habari wana JF,
Naomba msaada kuhusu biashara ya vitenge vya mafuta au Java, Mbeya vinauzwa 15000 kwa pieces 2/ doti, na 43000 kwa pieces 6 /jola, nasikia wananunua Dar kwa jumla. Naomba kujua bei ya jumla Dar ni shiling ngapi? Na vinapatikana Dar sehem gani?
Natanguliza shukrani, naomba mnisaidie
Naomba msaada kuhusu biashara ya vitenge vya mafuta au Java, Mbeya vinauzwa 15000 kwa pieces 2/ doti, na 43000 kwa pieces 6 /jola, nasikia wananunua Dar kwa jumla. Naomba kujua bei ya jumla Dar ni shiling ngapi? Na vinapatikana Dar sehem gani?
Natanguliza shukrani, naomba mnisaidie