Biashara ya vifaa vya simu

shamp

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
225
Reaction score
215
Waungwana habari ya saizi napenda kuuliza je biashara ya vifaa vya simu kama, chaji, kava, protecta, earphones, chaji n.k je mtaji wa laki tano unaweza kutosha au inahitaji walau mtaji wa sh.ngapi kwa kuanza tu nje na matengenezo ya ofisi ,,,,? Naombeni majibu kwa wanaojua na je inalipa..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…