Nnastationery kubwa nauza bidhaa za ofisin na mashuleni,natoa copy na kuscan pia napiga paspoti na huduma za kibenki,ni huduma gani tano nyingine naweza kuwa natoa .
Huduma ya stationery unaweza kwenda pamoja na baadhi ya bidhaa za duka la kawaida! Maana wateja wake wanafanana!
Hapo weka sukari, majani ya chai, body sprays, pampas, sabuni aina zote, etc
Huduma ya stationery unaweza kwenda pamoja na baadhi ya bidhaa za duka la kawaida! Maana wateja wake wanafanana!
Hapo weka sukari, majani ya chai, body sprays, pampas, sabuni aina zote, etc
Ili Kupata leseni inatakiwa uSpecify ni biashara gani unataka kufungua. Watoa leseni wanataka wapate tozo yao ktk kila kitu. Ili kuepuka usumbufu ni bora ukate leseni ya duka na leseni ya stationery na if eneo lina nafasi nzuri basi unaweka mpangilio mzuri cos ninavyojua mimi ukiomba leseni ya biashara ya bidhaa za chakula pia kuna issue ya afisa afya wa kata kuja kufanya ukaguzi. Kimsingi kama uko maeneo ya mjini watakupata tu. .. kwenye ada za leseni na kodi ya TRA. Na wakikushtukia wenyewe kuna na fine juu!