Ndio inalipa. Wewe umepanga kuianzishia wapi?
Mchawi ni location na target market ya watu unao walenga. Maana kuna mabalo ya nguo za watoto nguo za wanawake na wanaume, wewe umepanga kuuza aina gani ya balo?
Ukipata minada iliochangamka basi mzigo utaenda.