Biashara ya Magazeti Ya Kufungia bidhaa

Biashara ya Magazeti Ya Kufungia bidhaa

Joined
Aug 15, 2021
Posts
49
Reaction score
45
Habari za Wakati huu Watanzania Wenzangu, naomba niende kwenye mada husika. Nina mtaji wa 200,000 nataka nianze biashara ya Magazeti Ya Kufungia bidhaa, naomba kujuzwa bei zake za jumla Dar Es Salaam Mimi nipo mkoa wa Njombe.
Natanguliza Shukrani zangu za Dhati kwenu.
 
Back
Top Bottom