Biashara ya mafuta ya alizeti kutoka Singida

Biashara ya mafuta ya alizeti kutoka Singida

Mashao lole

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2016
Posts
484
Reaction score
490
Habari wakuu, nataka kuanza biashara ya mafuta ya alizeti na niko dar, sijawahi kuifanya wala sina ninacho jua kuhusu hii biashara.

Sasa naomba wanaoilewa, wanao Fanya, waliowahi kufanya hii biashara wanijuze, walioko singida pia karibuni. Kwa singida Lita tano bei gani? Lita ishirini bie gani? Kusafirisha hadi dar makadirio sh ngapi? Ni kipindi gani yanashuka bei na kipindi gani yanapanda!

Changamoto za hii biashara ni zipi na tahadhari gani napaswa kuchukua! Pia wanaomfahamu kuhusu upatikanaji wa masoko dar karibuni kwa ushauri. Asante.
 
Habari wakuu, nataka kuanza biashara ya mafuta ya alizeti na niko dar, sijawahi kuifanya wala sina ninacho jua kuhusu hii biashara.

Sasa naomba wanaoilewa, wanao Fanya, waliowahi kufanya hii biashara wanijuze, walioko singida pia karibuni. Kwa singida Lita tano bei gani? Lita ishirini bie gani? Kusafirisha hadi dar makadirio sh ngapi? Ni kipindi gani yanashuka bei na kipindi gani yanapanda!

Changamoto za hii biashara ni zipi na tahadhari gani napaswa kuchukua! Pia wanaomfahamu kuhusu upatikanaji wa masoko dar karibuni kwa ushauri. Asante.
Kwenye bei inategemea, kipindi Cha mavuno bei unakuwa chini,hivyo hupanda kulingana na kadri miezi inavyosogea pia kutegemeana na Hali ya mavuno ya mwanzoni,Na bei ili kujua tafuta namba ya SIDO, Singida,utapata jibu.
 
Kwenye bei inategemea, kipindi Cha mavuno bei unakuwa chini,hivyo hupanda kulingana na kadri miezi inavyosogea pia kutegemeana na Hali ya mavuno ya mwanzoni,Na bei ili kujua tafuta namba ya SIDO, Singida,utapata jibu.
Asante mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom