cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,117
- 1,804
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Nimevutiwa sana kufanya biashara ya kuuza mkaa, ambayo kwa kifupi nahitaji kuchoma tanuri mwenyewe mpaka hatua ya mwisho ...namaanisha kuingiza sokoni mwenyewe....sasa kwa faida ya wengine wasiojua ....nahitaji kwa anayefahamu anielekeze utaratibu upoje yaani kuanzia kibali cha kuchoma mpaka bidhaa inaingia sokon....!!
Aksanten
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Nimevutiwa sana kufanya biashara ya kuuza mkaa, ambayo kwa kifupi nahitaji kuchoma tanuri mwenyewe mpaka hatua ya mwisho ...namaanisha kuingiza sokoni mwenyewe....sasa kwa faida ya wengine wasiojua ....nahitaji kwa anayefahamu anielekeze utaratibu upoje yaani kuanzia kibali cha kuchoma mpaka bidhaa inaingia sokon....!!
Aksanten
