chakufia nini
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 692
- 456
Mkuu kila sehem wanakula chakula kutokana na mazingira yao kama nyoka wachina tena wenye sumu kali,panya malawi,viwavi zambia na msumbiji,zambia nyani northern province na congo ivyo ni baadhi tu bt sehem nyingi huliwa vtu ambavyo sehem ingine hawaliwi.
Ndio maana magonjwa yote ya ajabu ajabu yanaanzia Africa.
Duh inataka moyo lakini suala la mazoea tu.
Ndio maana magonjwa yote ya ajabu ajabu yanaanzia Africa.
Ahaaaa jamani nyama gani hizi tena?
mwenyewe nawatamani ila moyo unakuwa na vibration
mmmmmmmm,kuna watu wana moyo.....
Hata ww ukila kiti moto watakuona una moyo
Unatamani mh! mi niliangalia huyo chura aliyeshikwa hapo nikahisi moyo unasogea pengine
Mwenyezi mungu aninusuru....