Asante sana kwa ushauri,mimi mchele nalima mwenyewe mpunga nalimia mbeya,hivo nakuwa nauza mchele kutoka mbeya.
Pia sijakuelewa kuhusu wenyeviti wa masoko..kwamba wao watanisaidia kujua bei za mchele kwa soko husika,hao wenye viti wanakuwa na uzoefu wa kiasi hicho, of course its true unavoniambia nisifungue kwanza duka nifanye survey ya bei kwani nnaweza nikauza kwa jumla moja kwa moja sokoni kuliko kutafuta frame.
Pia nilikuwa naomba kama kuna mtu yyte ana connection na watu wa mashule ya boarding niweze kusupply mchele.