Tshirt Printing inafanyika kwa Njia/Methods nyingi.
Kwa kuanza kabisa kuna njia hizi hapa mbili
1. Screen Printing: Hii ni njia bora kabisa ya kuprint Tshirt, Huhitaji machine kwa kazi rahisi za kawaida ambazo ndizo nyingi mtaani. Unahitaji kujifunza namna ya kutengeneza screen na namna ya kuprint tu. Kwa kazi hasa zenye rangi nyingi au zinazolazimu kuprint full color hapo ndipo unahitaji machine. Machine zinauzwa za kutoka nje, lakini pia namfahamu mtu mmoja Sido DSM Vingunguti anatengeneza na kuziuza.
2. Heat Transfer Printing: Hii unahitaji machine, mfano wa kazi zake ni kama zile Tshirt za msiba n.k. Machine hizi zinapatikana madukani na zipo zinazofanya mambo mengi pia kama kuprint vikombe, kofia, sahani n.k
Tshirt Printing inafanyika kwa Njia/Methods nyingi.
Kwa kuanza kabisa kuna njia hizi hapa mbili
1. Screen Printing: Hii ni njia bora kabisa ya kuprint Tshirt, Huhitaji machine kwa kazi rahisi za kawaida ambazo ndizo nyingi mtaani. Unahitaji kujifunza namna ya kutengeneza screen na namna ya kuprint tu. Kwa kazi hasa zenye rangi nyingi au zinazolazimu kuprint full color hapo ndipo unahitaji machine. Machine zinauzwa za kutoka nje, lakini pia namfahamu mtu mmoja Sido DSM Vingunguti anatengeneza na kuziuza.
2. Heat Transfer Printing: Hii unahitaji machine, mfano wa kazi zake ni kama zile Tshirt za msiba n.k. Machine hizi zinapatikana madukani na zipo zinazofanya mambo mengi pia kama kuprint vikombe, kofia, sahani n.k
Mkuu mashine kama Epson L805 unaweza kuprint kwenye T-shirt na Vikombe pamoja na CD? na kama hapana ni mashine ya aina gani ya bei ya afadhali naweza kufanikisha kufanya huduma hizo?
Inatakiwa uwe a one stop solution for packaging kwa wajasiliamali,ili utengeneze pesa chap chap.
Nipe umarket manager tutengeeze faranga,,Nina uzoefu wa kufanyia Apple enzi za job lusinde,,,ooh,,namanisha Steve job,
Mkuu mashine kama Epson L805 unaweza kuprint kwenye T-shirt na Vikombe pamoja na CD? na kama hapana ni mashine ya aina gani ya bei ya afadhali naweza kufanikisha kufanya huduma hizo?
Tshirt Printing inafanyika kwa Njia/Methods nyingi.
Kwa kuanza kabisa kuna njia hizi hapa mbili
1. Screen Printing: Hii ni njia bora kabisa ya kuprint Tshirt, Huhitaji machine kwa kazi rahisi za kawaida ambazo ndizo nyingi mtaani. Unahitaji kujifunza namna ya kutengeneza screen na namna ya kuprint tu. Kwa kazi hasa zenye rangi nyingi au zinazolazimu kuprint full color hapo ndipo unahitaji machine. Machine zinauzwa za kutoka nje, lakini pia namfahamu mtu mmoja Sido DSM Vingunguti anatengeneza na kuziuza.
2. Heat Transfer Printing: Hii unahitaji machine, mfano wa kazi zake ni kama zile Tshirt za msiba n.k. Machine hizi zinapatikana madukani na zipo zinazofanya mambo mengi pia kama kuprint vikombe, kofia, sahani n.k