Wazo sio baya,unajua Overland trucks ni watu waliojitoa saana.
Na wengi pumzika yao huwa kwenye Magari yao unless wameshuka kwa ajili ya shopping tu.
Fanya uchunguzi wa kutosha saana na wa kina saana.Na hali ya usalama kwa sasa sikushauri uanze hii biashara.
Maana idadi yao inapungua,maaana wengi wa South Africa na Wajerumani,ambapo usalama ukiwa duni basi wanatumia ndege.
So,fanya uchunguzi wa kutosha,usije kukuta unalipia kodi tuu bila biashara.Wale jamaa hata kuoga huwa hawataki,asiee wabishi saana wale Watalii wa kwenye Magari.Hahahaha
Wapo ambao smart,ila kuna kipindi ukute wajerumani waliopinda,aisee wavivu hadi kuoga.Sasa kwenye kutumia ndio kabisaa,wanajua hadi bei ya andazi