Betting Vs Forex Trading

Betting ina faida kubwa sana na inaweza ikakupa utajiri mkubwa sanaa...

Mimi na wadau zangu tumecheza kamechezo fulani hapa siwezi kukisema sababu za privacy tuu...

Last month nimeingiza dollar elfu kumi net mzee via betting


Halafu....

Faida nyingine una uwezo wa kufanya mambo mengine huko

Easy to learn
Easy to achieve
 
kizuri kula na nduguyo mzee baba...tupe matrick! au ni kale kamchezo cha Back & Lay
kwny betfair
 
naweza nika ku PM unieleweshe maana sina uelewa kabisa na hii trade systems
 
Betting upuuzi nimebet kwa zaidi ya miaka 8 now compare na 2.6year ya Forex laiti iyo nane ingekua ktk forex natumaini nami ningekua papaa hapa mjini ila worth

Betting ina risk kubwa kuliko forex betting unarisk mtaji wote unaoweka mezani ila forex unarisk kiasi utakachojisikia kukilimit mezani kutoka katika mtaji wako


Betting inabase katika bahati ya mtu, utabiri na hisia(uchambuzi ni kufoji tu ktk betting uchambuzi ni jambo la juzi tu watu wameliweka ila halina uhusiano na kufanikiwa)


Unaweza bet mwaka mzima na usile trust me unaweza trade forex kwa maarifa na kila siku ukarudia ile ile process ukapata return


Betting inaweza kufanya ukawa chizi kirahisi( unakosa ml 5 kisa man u kapigwa unawaka pasipo maana means unapingana na bahati yako) na mtu wa kudharaulika katk jamii kama utajulikana unabet hata kama unapata ela watasema za kubet izo zitaisha kama upepo

Trade forex minimize betting huna elimu sema
 
Huwezi linganisha forex na betting mchezo wa bahati na sibu, FOREX ni biashara ambayo inahtaj umakini, muda, focus malengo, kuzuia tamaa na kutambua unachokifnya hapo ndipo utakapo gundua FOREX ni nzuri na nibiashara ambayo ukiifnya kama biashara utafanikiwa saana, najua sisi wabongo tunapenda slope akat FOREX haiko hvyo, inakuitaj usome ili uongeze ujuz wa kupga pesa.

ALWAYS NO FREE LUNCH U NEED TO WORK HARD TO ACHIEVE WHAT U NEED.


FOREX IS THE BEST ONLINE TRADE IN THE WORLD.
 
Mkuu naomba unipe somo kuhusu forex
 
Wakuu napenda kufanya biashara ya Forex .......anayejua kuhusu Forex naomba unisaidie kunipa elimu juu ya hii biashara........ Aliye tiari naomba namba yake nitamtafuta
Chief ingia youtube search Adam khoo na scalp kings fx (hapa utajifunza forex basics kwa kiswahili)
 
Kwa wajuvi, nikiwekeza 1M kuna uwezekano wa kupata faida kiasi gani baada ya mwezi mmoja
 
sure
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer TemplerFX | Promo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…