mambo wana jf...betri ya computer yangu pale kwa display inaonesha alama x nyekundu.sijajua nini tatzo..pia halikai mda mref kama ilivo kua inakaa zamani
mambo wana jf...betri ya computer yangu pale kwa display inaonesha alama x nyekundu.sijajua nini tatzo..pia halikai mda mref kama ilivo kua inakaa zamani
<br />
<br />
mkuu hizi battery hua ni matatizo sana kama mwanzo ilikua inakaa na charge sana na sasa imepunguza less than 50
percentage ndo inaelekea kufa, but keep on doing investigation kama imegoma gafla kuingiza charge that will be another issue, may be adapter or motherboard lines.
mambo wana jf...betri ya computer yangu pale kwa display inaonesha alama x nyekundu.sijajua nini tatzo..pia halikai mda mref kama ilivo kua inakaa zamani
mkubwa hiyo betri ishakufa so u need to replace it na nyingine, kama vp nicheki kwa namba hii 0655-003510 ntakusaidia kupata betri nyingine koz nahusika na ishu za computer. waiting for your call