finalverdict
Member
- Jun 26, 2016
- 12
- 13
Kabisa,bora angeshinda yemi alade maana pia alistahili kuliko huyu coffee...hIV inamaana wanatuambiaga tupige kura kwa ajir yanini sasa kama mshindi wanakuwa washampanga? Uyo jamaa mie hata kumskia cjawai.mara 1000000 wangempa YEMI.
Wema kiba diamond nk. Unajua washabiki wa hawa watu nI was aina gani? Ndio hao unaowaona wanaporomosha matusi kwenye pages za watuOk ok okay naona best international act Africa ameshatajwa toka jana, here are my thoughts on bet;
Bet naona wameprove kuwa label za nje haziwezi kusimamia muziki wa Africa.. kwa mara ya pili mfululizo anashinda mtu asiyestahili, mwaka jana stanbwoy wa Ghana aliwashinda wizkid na fally ipupa ambao ndio waliostahili kupata hiyo tuzo.. mwaka huu pia naona wamemtambulisha tena mtu asiyefahamika Afrika kwa waafrika na kupelekea wabongo ambao ni team wizkid wamsaliti boss wao na kuwa team kahawa... mwenendo huu unaonesha kabisa kuwa bet hawaujui muziki wa Afrika hata kidogo kwani huyo blackcoffee anatamba Africa kusini pekee, lakini pia licha ya kwamba anatamba SA tu, hata huko bado hana uwezo wa kuwafunika AKA na Casper.. wasauzi wengi walipeleka kura kwa Casper na AKA hivyo bet nadhani ni watenda miujiza kwa kweli.. mwanzo nilimuona wizkid anazingua na angeweza kuharibu harakati za kuingia katika soko la marekani kisa hajaenda bet ila sasa nimepata jibu, bet ni platform ya kuwasaidia wasanii chipukizi kujulikana katika international market hivyo ni wakati sahihi kwa wasanii wakubwa wa Afrika kutohudhuria tena bet kama wizKid.. mshindi wa mwisho wa bet ambaye alistahili ni DAVIDO basiii wengine hamna kitu na ndio maana hata sasa wengi wenu hamumjui stonebwoy na hata huyu coffee olomide baada ya hekaheka za bet hamtamsikia teeeena..
Lakini pia ifike wakati mashabiki wa diamond wawe na busara... sio kisa diamond kakosa basi ndio muanze kutukana watu mitandaoni, mnaharibu image ya diamond lakini kikubwa zaidi image ya taifa... watanzania tunaanza kuonekana wajinga kisa watu wachache, mbona wanaija hawatukani???[emoji34]
Naona unaongea kwa ushabiki zaidi... diamond anajulikana Afrika nzima pitia Twitter na social media mbalimbali utaona waafrika kutoka nchi tofauti wakirequest aende kwao.... kiba tu anajulikana kimtindo sembuse diamond? Huyo black coffee hajulikani kokote kule hapa Afrika na unashangaza kusema eti ana soko kubwa duniani[emoji23], waafrika wenye soko kubwa duniani ni psquare tu wengine wote ndio kwanza wanalitafuta..Na nyinyi mnadhani Diamond anajulikana Africa yote [emoji23][emoji23][emoji23].
Nashauri kama tuna ubavu basi tujiunge na StarBoy kuzigomea hizi awards sio maneno ya mkosaji wakati kipindi cha mchakato tulikua busy kuomba kura na kujiaminisha kua tunashinda wakati tunajua soko la nje sivyo ambavyo tunaamini lilivyo kuna wasanii muziki wako kimataifa zaidi na sisi hatuwajui uku tukiamini Diamond anatambulika kimataifa kisa amepiga picha na Kanye West ni uzwazwa bado naamini Diamond akitoa albamu leo hii hakika tutanunua around Tz,Kenya na Ug lakini inawezekana Black Coffee ana soko kubwa duniani kwa albamu zake hapo ndipo panatakiwa pafanyiwe kazi sio hizi video za Godfather zisitupe kiburi cha kuvimba napenda kumpongeza Diamond kwa kuonyesha uungwana wa KUMPONGEZA Black Coffee kwa ushindi wakati sisi uku tunamponda inawezekana mwenzetu anamjua vizuri ila sisi tunaoamini muziki ni Diamond na Kiba ndio tunapiga makelele kama wehu,Diamond ni wakati wa kujipanga kwenda kimataifa usiamini hizi sifa zetu kua eti wewe ni msanii bora zaidi Africa wakati hata Black Coffee hatumfahamu mpaka leo BET wametujuza kua yupo.
Naona unaongea kwa ushabiki zaidi... diamond anajulikana Afrika nzima pitia Twitter na social media mbalimbali utaona waafrika kutoka nchi tofauti wakirequest aende kwao.... kiba tu anajulikana kimtindo sembuse diamond? Huyo black coffee hajulikani kokote kule hapa Afrika na unashangaza kusema eti ana soko kubwa duniani[emoji23], waafrika wenye soko kubwa duniani ni psquare tu wengine wote ndio kwanza wanalitafuta..
We mtoa comment naona una degree ya comedy.. eti coffee ni best DJ in the world hahaha unafurahisha, unaweza ukanipa ushahidi??? Kwa hiyo yeye ni bora kuliko David guetta, DJ Khaled nk? Haha duh!!!! Halafu ninaposema hajulikani sio kwamba hamna anayemjua.... mtu anayejulikana na mtu 1 kati ya 20,huyo hajulikani.. so usilazimishe kuwa anajulikana... kwa bahati mbaya jf hauwezi kupigisha pollmtoa maada blk coffee is the best DJ in the world, sio Afrika tu
ila sasa labda ujue BET ni waimbaji tu au ni wanamuziki in general
kazi za black coffee ni undisputable
hakuna wa kumpambanisha naye
katika uimbaji then uliowataja wote wamemzidi blk coffee
Halafu inaonesha humjui blackcoffee... eti ni mwanamuziki ndio maana kapewa tuzo... huyo jamaa ana nyimbo zake kabisa, anatunga na kutengeneza beat then anawapa waimbaji waimbe.. lakini nyimbo zinabaki kuwa zakehajulikani kwako!
blk coffee ni mwanamuziki sio mwimbaji dogo, ni DJ, producer na song writer na concert expert
Unasemaje kimataifa hamna kitu wakati alishinda tuzo kubwa kuliko hiyo bet?Mtu pekee ambaye hakutendewa haki ni wizkid..diamond kimataifa hamna kitu
Halafu inaonesha humjui blackcoffee... eti ni mwanamuziki ndio maana kapewa tuzo... huyo jamaa ana nyimbo zake kabisa, anatunga na kutengeneza beat then anawapa waimbaji waimbe.. lakini nyimbo zinabaki kuwa zake
We mtoa comment naona una degree ya comedy.. eti coffee ni best DJ in the world hahaha unafurahisha, unaweza ukanipa ushahidi??? Kwa hiyo yeye ni bora kuliko David guetta, DJ Khaled nk? Haha duh!!!! Halafu ninaposema hajulikani sio kwamba hamna anayemjua.... mtu anayejulikana na mtu 1 kati ya 20,huyo hajulikani.. so usilazimishe kuwa anajulikana... kwa bahati mbaya jf hauwezi kupigisha poll
Nimekuelewa rafiki ila ni kwamba kashinda kupitia hizo nyimbo na sio kwa kuwa ni djndio maana ya neno producer hapo rafiki
As musician in generalNimekuelewa rafiki ila ni kwamba kashinda kupitia hizo nyimbo na sio kwa kuwa ni dj
Duh me sijaona Shari hapo boss zaidi ya hojakumbe uko kishari?
ndio mshindi huyo wa BET
Hapa nakubaliana na wewe asilimia mia... waimbaji wetu wengi live ni wabovu, kuanzia diamond hadi vanessa, bora jide na kibaKingine tunakoenda huko wapigaji wa nyimbo LIVE wataendelea kutusumbua sana
Live musicians tunao wachache sana