hii bank ina uzembe fulani mwaka 2011 nlitoa hela milioni 1 kupitia kwa tellar baada ya lisaa nkaenda atm ntoe hela zaidi la ajabu nlikuta ile mil 1 nliyotoa haijapunguzwa nlivyoona hvyo nkatoa hela zote kwenye ac yangu ...walin2mia sms baada ya mwezi kua nmeover withdraw nrudishe hyo hela nkachuna kuna meneja baada ya wiki 2 alianza kuntafta nrudishe hyo hela ila hakua seriour bz alianza kuntisha kua nlete hyo hela ndani ya cku 2 au atume polisi wankamate ALIPONTISHA NDIPO ALIHARIBU bz sikurudisha akawa anakaa kama mwezi anantafuta hadi kipindi kama mwaka na nusu ukapita ndipo nkaona nrudishe tu hyo hela kwa kuiweka ac yao bz nlikua mwanza...,.juzi rfk yangu alienda kudraw hela situation ikajirudia..... Nna mashaka na taaluma za staff wa hii bank na uongozi wake