Mr. Tanzania
Member
- Jul 5, 2015
- 7
- 0
Habarini wanajamvi,
Jamani nimebaki njia panda hivi unapoambiwa (salio lako la leja ni74,990. Salio lililobakia ni 17000)
Sasa salio la leja ndio nini?
Naombeni ufafanuzi wakuu
Jamani nimebaki njia panda hivi unapoambiwa (salio lako la leja ni74,990. Salio lililobakia ni 17000)
Sasa salio la leja ndio nini?
Naombeni ufafanuzi wakuu