We chiz! una2pigia mwan0 kwa mahaba yak0?
Msituletee utani jamani jukwaa hili sio la maskhara hata kidogo. Wengine tunahaha kutafta mtaji nyie mwajitajia umiliki mijihela yote hiyo. Si ni bora ukanikopesha mimi japo hata 7% ya hiyo hela then aftr 5months nikurudishie 7%+1m interest each month.
Sio mambo jamani the world isnt fair at all!
Bora nilikuacha maana sahizi ungekuwa unanifanya nishindwe kuwatizama mashostito wangu miss neddy, ICHANA Bantu lady...nilikuwa najitamba umetulia kumbe kha,
Kama inaungua wacha nikusaidie kuhifadhi zilizobaki
Jamani naomba msaada wa haraka.
Mwenzenu nimezichanga kibishibishi zilifika 110 milion kwenye akaunti. Cha ajabu sasa kila biashara naiona haifai tena hata ile yamwanzo naiona ngumu alafu najisikia uvivu na pesa haiongezeki tena inazidi kupungua. Nimejigundua natumia pesa kwa kasi juzi nimecheki nimekuta 98m na sijui nimetumiaje na sikumbuki kama nilihonga. Cha ajabu nikitoka ATM kuchukua pesa kila mwanamke namuona mzuriii!!!. Sasa mwajameni nimerogwa au pepo limeniingia? Nifanyaje kuilinda hii amount nisije nikafulia mwenzenu.
Sio promo mkuu mzigo unaisha vibaya. Kama ningekuwa naendekeza mambo hayo nisingewwza kuzichangisha hadi nilipofikia.
Bora nilikuacha maana sahizi ungekuwa unanifanya nishindwe kuwatizama mashostito wangu miss neddy, ICHANA Bantu lady...nilikuwa najitamba umetulia kumbe kha,
Kama inaungua wacha nikusaidie kuhifadhi zilizobaki
Sio promo mkuu mzigo unaisha vibaya. Kama ningekuwa naendekeza mambo hayo nisingewwza kuzichangisha hadi nilipofikia.