Benard Mwakyembe ahamia CCM akitokea CHADEMA

…hakuna anayetoka Chadema wala chama chochote kwenda CCM akanunuliwa, labda kama wao wanafanya hizo tabia za kununua watu.”

kwahyo hapa yeye amejuaje?otherwise aseme yeye ndo alikua mhasibu
 
Kama na wewe unaunga mkono juhudi gonga like hapa
 
Mi mwenyewe nimeamua kuhama CHADEMA na kumuunga mkono Mh rais maana naogopa naweza nikawa wa mwisho kuhama.Mbowe nae karibia anahama subirini yajayo yanafurahisha
Mtumeee
 
Kwenu ndio mashithole wa milele walahi
Na utabaki kuwa hivyo Maana umekiri kwa kinywa chako mwenyewe, jitu zima ovyo kabisa walahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…