Beki Tatu mchumi.

Capitano

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2011
Posts
1,959
Reaction score
1,635
House girl mmoja kutoka nyanda za juu kusini ,alitoa kali ya mwaka alipohojiwa na bosi wake kwanini toothpick zinaisha haraka nae akajibu: Bee wanaofuja huto tuvijiti ni hawo wanao maana wakitumia mara moja tu wanatupa lakini mimi nikichokonoleaga meno bee narudishaga humohumo kwenye kachupa kake.
Aaaargh!!!!!!!!!
 
Safi sana beki tatu. Lakini mchafu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…